Na. WAF Dar Es Salaam Shirika la "Madaktari Afrika" lililopo nchini Marekani limetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi bilioni moja ambavyo vitatumika katika kambi maalumu y... Soma Zaidi
Habari
Na. WAF- KIGOMA NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa, Mkoa wa Kigoma utapata magari ya kubebea wagonjwa 17 (Ambulance) zitazosaidia kutatua changamoto ya huduma za Rufaa n... Soma Zaidi
Na. WAF - Bariadi, Simiyu Waziri wa Afya, Mhe Ummy Mwalimu amewataka wataalamu wa afya nchini kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi wa kutoa huduma bora za matibabu kwa wananchi.... Soma Zaidi
Hayo yamesemwa Leo tarehe 07/07/2023 na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa wakati akizungumza na Watumishi pamoja na wananchi wa Mtwara alipokuwa katika ziar... Soma Zaidi
Na. Catherine Sungura,Dar es salaam. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu leo Julai 8, 2023 amemkabidhi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Inj. Hamad Masauni Magari matatu ya uokoaji yen... Soma Zaidi
Na WAF Kigoma. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango amesema Serikali imedhamiria kujenga hospitali ya Rufaa ya kanda ya Magharibi yenye hadhi sawa ... Soma Zaidi
Na. WAF - Arusha Watu 70 hufariki kila siku nchini Tanzania kutokana na Ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) na watu 25,800 hufariki kila mwaka kutokana na ugonjwa huo hapa nchini. Hayo yam... Soma Zaidi
Na WAF- Morogoro. NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewapongeza wachezaji wa kandanda Dickson Job pamoja na Kibwana Shomari wa Timu ya Yanga kwa kuendelea kuunga mkono jitihada z... Soma Zaidi
Na. Majid Abdulkarim, Dodoma Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Mama na Mtoto, Wizara ya Afya, Dkt. Ahmad Makuwani amelitaka Baraza la Famasi ... Soma Zaidi
Na. WAF- Dar es Salaam Mwenyekiti wa Baraza la Kutokomeza Malaria Tanzania, Leodigar Tenga ametoa wito kwa wajumbe wa baraza kuwa karibu na wadau wa maendeleo wa afya kwa ajili ya kutok... Soma Zaidi