Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Taasisi ya Huduma za Macho ya LV Prasad iliyopo mjini Hyderabad wataandaa Hati ya mashirikiano (MoU) yenye lengo la kuimarisha huduma za m... Soma Zaidi
![image description](https://www.moh.go.tz/storage/app/uploads/public/64c/78d/da2/thumb_963_357_210_0_0_crop.jpg)
Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Taasisi ya Huduma za Macho ya LV Prasad iliyopo mjini Hyderabad wataandaa Hati ya mashirikiano (MoU) yenye lengo la kuimarisha huduma za m... Soma Zaidi
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ametoa wito kwa Uongozi wa Hospitali ya watoto ya Rainbow kuwekeza nchini Tanzania ili kuongeza huduma za kibingwa za magonjwa ya watoto nchini. Waziri ... Soma Zaidi
Wawekezaji wa bidhaa za dawa na vifaa tiba kutoka India wavutiwa kuwekeza Tanzania ambayo pia ni mlango wa sahihi wa kulifika soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Nchi za ... Soma Zaidi
Na Mwandishi wetu, JKCI. Kwa mara ya kwanza Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imefanya upasuaji wa kuzibua mishipa ya damu ya miguu iliyoziba kwa wagonjwa 100 wenye matatizo ... Soma Zaidi
Uongozi wa Hospitali ya Apollo umeahidi kuja Tanzania na kuwekeza katika Sekta ya Afya kwa kufungua Hospitali itakayokuwa imejikita kwenye utoaji wa huduma za matibabu ya kibingwa na ubingwa... Soma Zaidi
Serikali kwa kushirikiana na shirika la MUSO Health imepanga kuimarisha mifumo ya kutolea huduma za afya ngazi ya jamii. Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu... Soma Zaidi
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Abbot Mr. Hugo Xi pamoja na Mr. Bruno Mkurugenzi wa manunuzi wa kampu... Soma Zaidi
Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu ametoa wito kwa uongozi wa Hospitali za BLK-Max na MAX-Saket kuendelea kushirikiana na Tanzania katika utoaji wa huduma za matibabu ya kibingwa bobezi nchini ... Soma Zaidi
Na Mwandishi wetu, New Delhi, India. Serikali ya India na Tanzania zimekubaliana kushirikiana katika upatikanaji wa dawa za gharama nafuu ili kuwezesha wananchi kumudu na kupata dawa hi... Soma Zaidi
Na. Mwandishi Wetu Tanga Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt Seif Shekalage amewataka wamiliki wa maduka ya dawa nchini fuateni utaratibu sahihi wa utoaji dawa kwa wagonjwa kulingana na m... Soma Zaidi