Na. Majid Abdulkarim, WAF - MWANZA Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema kulingana na jumla ya idadi ya Vitongoji na Mitaa nchini, inatarajia kuwa na Wahudumu wa afya ngazi ya jamii 68,6... Soma Zaidi

Na. Majid Abdulkarim, WAF - MWANZA Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema kulingana na jumla ya idadi ya Vitongoji na Mitaa nchini, inatarajia kuwa na Wahudumu wa afya ngazi ya jamii 68,6... Soma Zaidi
Waziri wa Afya Mhe. @ummymwalimu amesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kushirikiana na Kituo cha Kudhibiti Magonjwa kutoka M... Soma Zaidi
Na. WAF - Dar es Salaam Kituo cha mafunzo kwa njia ya mtandao kwa Watumishi wa Afya ambacho kitasaidia kukabiliana dhidi ya magonjwa mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa UVIKO-19 kimezinduliwa... Soma Zaidi
Na. WAF - Mtwara Watumishi wa Hospital ya Rufaa Kanda ya Kusini Mtwara kujengewa nyumba 20 vya malazi pamoja na kununuliwa magari mawili (Coster) na Gari kwa ajili ya Mkurugenzi ili kuw... Soma Zaidi
Na. WAF - Mtwara Imethibitika kuwa njia ambayo ni salama ya kujikinga na ugonjwa wa UVIKO-19 ni kupata chanjo hiyo kwa kuwa ukichanja utakuwa umejikinga na kuikinga jamii ya watanzania.... Soma Zaidi
Wagonjwa wapatao 150 wanatarajiwa kupatiwa matibabu ya mfumo wa fahamu katika kambi ya siku tatu itakayofanywa na madaktari wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa kushirikiana na Hospitali... Soma Zaidi
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo amezindua mradi wa macho kwa Mikoa ya Tanga, Kagera, Manyara na Mtwara wenye thamani ya Tshs Bilioni 1.2 pamoja na kupokea vifaatiba vya huduma za macho vyeny... Soma Zaidi
Na. WAF - Mtwara Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brig. Gen. Marco Gaguti ametoa rai kwa wakazi wa Mkoa huo kujitokeza kwa wingi katika tamasha la mziki mnene litakalofanyika katika viwanja vya N... Soma Zaidi
Hadi kufikia tarehe 18 Julai, 2022 jumla ya wananchi milioni 11.5 sawa na asilimia 37 ya watu wenye umri wa miaka 18 na kuendelea wamepata chanjo kamili ya UVIKO-19 hapa nchini. Hayo ya... Soma Zaidi
Viongozi wa Serikali za Mitaa nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha wananchi kufanya usafi wa mazingira kwenye maeneo yao pamoja na kufukia madimbwi yote ili kuteketeza m... Soma Zaidi