Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imefanya upasuaji wa kuondoa uvimbe kwenye sakafu ya ubongo kupitia pua (Endoscopic transphenoidal pituitary) bila kupasua fuvu la kichwa ambapo tangu... Soma Zaidi
Habari
Na. WAF - Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu leo ametembelea Hospitali ya Mbagala Rangi Tatu na kukagua mradi wa ujenzi wa hospitali hiyo itakayo kuwa na Ghorofa Sita na ita... Soma Zaidi
Mwananchi kutoka nchini Malawi Jane Chimuyaka aliyekuwa akisumbuliwa na magonjwa ya moyo ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Tanzania kwa kuanzisha matibabu ya moyo nchini kusaidia wagonjwa w... Soma Zaidi
Na WAF- Kagera NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametoa wito kwa Wadau na watendaji wote wa Serikali kuhakikisha fedha zote zinazoingia nchini na zinazotoka Serikalini kupitia zia... Soma Zaidi
Taasisi ya Saratani Ocean Road yaanza kutoa za Huduma za urekebishaji wa mfumo wa nyongo iliyoziba pasipo upasuaji ambapo mfumo huo unapoziba kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo saratani k... Soma Zaidi
Na Shaban Juma, Songwe Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Hellen Keller wamefanikiwa kuwatibu watu zaidi ya 200 katika huduma za mkoba za upasuaji wa mtoto wa jicho ik... Soma Zaidi
Na. Shabani Juma, Songwe Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa Hellen Keller wamejipanga kuendelea kuboresha huduma za afya ya macho kwa kusogeza karibu huduma za mko... Soma Zaidi
Serikali imesema itahakikisha gharama za usafishaji figo zinakuwa nafuu ili kuokoa maisha ya watanzania. Kauli hiyo imebainishwa na Waziri wa Afya, Mhe.Ummy Mwalimu wakati akitoa ufaf... Soma Zaidi
Wataalamu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya wanashiriki maonesho ya 95 ya kilimo cha biashara Lusaka Zambia ili kufikia azma ya kutangaza tiba utalii kwa nchi Wanachama wa Jumuiya ya M... Soma Zaidi
Na. Majid Abdulkarim,Dodoma SERIKALI imetenga jumla ya Shilingi Bilioni 55.9 kwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili @taasisiyamifupa_moi kwa ajili ya kuboresha huduma za... Soma Zaidi