Na Happyness Hans, WAF – Morogoro Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) imeanza kuhuisha Mwongozo wa Kitaifa wa Usimamizi wa Wagonjwa wa Mago... Soma Zaidi
Na Happyness Hans, WAF – Morogoro Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) imeanza kuhuisha Mwongozo wa Kitaifa wa Usimamizi wa Wagonjwa wa Mago... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAF – Morogoro Mawasiliano jumuishi yametajwa kuwa nguzo muhimu ya kufanikisha juhudi za Serikali za kutokomeza malaria nchini ifikapo mwaka 2030 kwa kutoa taarifa sahihi... Soma Zaidi
Na Shaban Juma, Dar es Salaam Ajenda ya kujenga uchumi imara wa afya Afrika Mashariki kupitia ushirikiano, uwekezaji na mifumo thabiti ya utoaji huduma za afya imepewa kipaumbele katika... Soma Zaidi
Waziri wa Afya Mhe.Mohamed Mchengerwa amewataka Watendaji wa Serikali kusimamia vema utekelezaji wa miradi mbalimbali na kuweka pembeni tofauti zao ili kuwaletea wananchi maendeleo Kaul... Soma Zaidi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha elimu ya kinga kwa wananchi, akieleza kuwa ni silaha muhimu katika kuzuia magonjwa mengi na kupunguza gha... Soma Zaidi
Na Andrea Kadege, WAF-Arusha Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ameendelea kuweka msisitizo kwa wananchi kuendelea kujiunga na bima ya afya, akieleza kuwa ndiyo msingi e... Soma Zaidi
Na Andrea Kadege, WAF-Arusha Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa amegharamia vifaa kwa watoto 15 waliogundulika na changamoto ya usikivu katika kambi ya madakatari bingwa wa upasuaji... Soma Zaidi
Na John Mapepele, WAF- Kilimanjaro Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema Serikali itaendelea kuimarisha ushirikiano na taasisi za dini katika utoaji wa huduma za afya, akiele... Soma Zaidi
Na Mvuda Jaffer, WAF-Kyerwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Bi. Zaituni A. Msofe, amepongeza na kuahidi kuupokea na kuuendeleza mpango wa serikali wa utayari kwa wananchi kukabiliana na chang... Soma Zaidi
Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wanaoshiriki katika kambi ya Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi iliyoandaliwa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na ECSA-HC, wamefanikiwa kufanya upasuaji wa... Soma Zaidi