Na WAF - Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imetia saini ya makubaliano na kampuni ya kuzalisha vifaa vya maabara Abbott ya nchini Marekani yenye lengo la kujenga kiwan... Soma Zaidi

Na WAF - Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imetia saini ya makubaliano na kampuni ya kuzalisha vifaa vya maabara Abbott ya nchini Marekani yenye lengo la kujenga kiwan... Soma Zaidi
Na WAF, Dodoma Naibu Waziri ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya Afya Dkt. Festo Dugange, amesema Serikali itaendelea kuongeza wigo wa utoaji na upatikanaji w... Soma Zaidi
Na WAF - Dodoma Watanzania wameaswa kuzipa kipaumbele hospitali za ndani ya nchi kwa kufanya uchunguzi wa afya wa awali kwa kuwa Serikali chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan i... Soma Zaidi
Na. WAF, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa wito wa viongozi wa dini nchini kuwa mabalozi kwa jamii katika kutoa elimu ya namna bora ya kubadilisha mtindo wa maisha hu... Soma Zaidi
Serikali imetoa wito kwa jamii kuendelea kuchukua hatua za kujikinga na magonjwa ya mlipuko ikiwemo Kipindupindu kwa kuzingatia kanuni za afya ikiwemo kutumia maji safi na salama... Soma Zaidi
Wizara ya Afya imeshiriki kwenye maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani, kitaifa visiwani Zanzibar ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuongeza uimara wa mawasiliano yake hasa katika vituo vya ... Soma Zaidi
Na WAF - DAR ES SALAAM. Serikali imetoa rai kwa wadau na jamii kuendelea kuunga mkono ukuzaji wa bunifu zilizoshinda kwa kuweka mifumo wezeshi kwa wabunifu hususani katika eneo l... Soma Zaidi
NA WAF - Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya na Global Fund kuendelea kushirikiana ili kuimarisha afua dhidi ya Malaria, Kifua Kikuu (TB) pamoja na UKIMWI kwa kuboresha ... Soma Zaidi
Na WAF - Dodoma Ghala la kuhifadhia bidhaa za afya ikiwemo dawa lililojengwa mkoani Dodoma litasaidia kusambaza bidhaa hizo katika mikoa jirani ikiwemo Singida ili kurahish... Soma Zaidi
Na. WAF, Morogoro Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini limevitahadharisha vyombo vya habari vinavyoendelea kurusha vipindi na matangazo yanayohusu tiba asili bila kibali, licha y... Soma Zaidi