Na Hassan Kimweri, WAF - Dar es Salaam Maandalizi kuelekea Mkutano wa 4 wa Kamati ya Uongozi ya Kikanda ya Mawaziri wa Afya Afrika Mashariki (ReSCO) yanaendelea, ambapo leo jijini Dar e... Soma Zaidi
Na Hassan Kimweri, WAF - Dar es Salaam Maandalizi kuelekea Mkutano wa 4 wa Kamati ya Uongozi ya Kikanda ya Mawaziri wa Afya Afrika Mashariki (ReSCO) yanaendelea, ambapo leo jijini Dar e... Soma Zaidi
Na Shaban Juma, WAF – Dar es Salaam Wizara ya Afya kupitia Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na CCBRT imepokea jumla ya Shilingi milioni 200, ambapo kila taasisi imepatiwa Shilin... Soma Zaidi
Na Shaban Juma, WAF – Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, amesema Tanzania imeendelea kupata mafanikio katika kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi kutokana na uwekezaji mk... Soma Zaidi
Na Zakayo Mosha – WAF Ruvuma Serikali kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI pamoja na Mdau wa Maendeleo Clinton Health Access Initiative (CHAI), imeendelea kutekeleza afua... Soma Zaidi
Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imefanya mapitio ya Sera ya Afya ya Mwaka 2007 ili kuhakikisha sera hiyo inaendana na mabadiliko yaliyopo katika sekta ya... Soma Zaidi
Na Aisha Swahibu, WAF - Dodoma Wizara ya Afya imeandaa Mwongozo wa Kitaifa wa Utekelezaji wa Uongezaji wa Virutubishi kwenye Chakula wa mwaka 2026 pamoja na Kanuni za Uongezaji wa Virut... Soma Zaidi
Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Serikali imeendelea kuimarisha huduma kwa watu wanaoishi na magonjwa adimu kwa kuboresha utambuzi wa magonjwa hayo, upatikanaji wa dawa na matibabu pamoj... Soma Zaidi
Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, amesema Serikali imeendelea kuongeza uwekezaji katika tafiti, teknolojia na elimu ya afya, hatua iliyo... Soma Zaidi
Na Shaban Juma, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeipongeza Serikali kwa hatua ya kutambua na kuendelea kutoa kipaumbele katika kukabiliana na magonjwa adi... Soma Zaidi
Na WAF - Morogoro. Watoto nchini Tanzania wanatarajiwa kunufaika na juhudi za kuimarisha upatikanaji wa vyakula salama, bora na vyenye virutubishi muhimu, kupitia ushirikiano wa Serikal... Soma Zaidi