Na. WAF - Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya nchini, imeendelea kuratibu kikao maalum cha kitaifa c... Soma Zaidi
Na. WAF - Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya nchini, imeendelea kuratibu kikao maalum cha kitaifa c... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAF-Dodoma Serikali imetangaza mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Malaria nchini, huku takwimu zikionesha kupungua kwa maambukizi kwa asilimia 30 kuto... Soma Zaidi
Hospitali ya Wilaya ya Uvinza imepokea mafunzo na usimamizi shirikishi kutoka kwa watalam wa Wizara ya Afya kuhusu utoaji wa huduma za dharura, ajali na wagonjwa mahututi, hatua inayol... Soma Zaidi
Na Shaban Juma, Dodoma Serikali imeendelea kuimarisha matumizi ya teknolojia ya vinasaba nchini ili kuboresha huduma za afya, kuimarisha utoaji wa haki na kuchochea maendeleo ya kisayan... Soma Zaidi
Na Shaban Juma, Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua madhubuti kudhibiti uwepo wa maduka ya dawa yasiyo na vibali, pamoja na vit... Soma Zaidi
Na. Happyness Hans WAF - Kigoma Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe, Dkt. Baraka Kemelo amesema hospitali imepokea wataalamu kutoka Wizara ya Afya kwa lengo la usimamizi s... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAF-Dodoma Bodi mpya ya Wadhamini wa Hospitali ya Benjamin Mkapa imezinduliwa rasmi, huku viongozi wakisisitiza kukamilisha miradi iliyoanzishwa na kuongeza ubunifu wa hu... Soma Zaidi
Na Shaban Juma, Dodoma Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa, amesema Serikali imefikia uamuzi wa kuijenga upya Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya mchakato wa ki... Soma Zaidi
Na Shaban Juma – Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi amesema Serikali itaendelea kuimarisha huduma za dawa za usingizi tiba na ganzi salama ili kuboresha usalama wa... Soma Zaidi
Na Happyness Hans, WAF- Kibondo Huduma za dharura na wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Wilaya ya Kibondo zimepata msukumo mpya kufuatia mafunzo maalum ya wataalam kutoka Seri... Soma Zaidi