Na WAF – DSM Serikali ya Tanzania imeonekana kupiga hatua katika kukabiliana na dharura za kiafya pamoja na magonjwa ya milipuko kutoka asilimia 48 mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 63 m... Soma Zaidi
Habari
![image description](https://www.moh.go.tz/storage/app/uploads/public/64d/f33/0b6/thumb_1005_357_210_0_0_crop.jpg)
Na. Majid Abdulkarim, Mbarali Wananchi wa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwasogezea huduma za upasuaj... Soma Zaidi
![image description](https://www.moh.go.tz/storage/app/uploads/public/64d/f31/007/thumb_1004_357_210_0_0_crop.jpg)
WAZIRI wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amebainisha maeneo ambayo yamelengwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya watoto (UNICEF) ili kuboresha Sekta ya Afya nch... Soma Zaidi
![image description](https://www.moh.go.tz/storage/app/uploads/public/64d/f2f/5c3/thumb_1003_357_210_0_0_crop.jpg)
Na. WAF, Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Stanslaus Nyongo ameitaka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kuongeza nguvu ya kudhibiti bidh... Soma Zaidi
![image description](https://www.moh.go.tz/storage/app/uploads/public/64d/f2e/a7d/thumb_1002_357_210_0_0_crop.jpg)
Na. Majid Abdulkarim, Mbarali Wagonjwa zaidi ya 500 wenye matatizo ya mtoto wa jicho wanatarajiwa kupatiwa huduma ya upasuaji wa mtoto wa jicho kutoka kwa madaktari bingwa wa macho amba... Soma Zaidi
![image description](https://www.moh.go.tz/storage/app/uploads/public/64d/cc4/fb7/thumb_1000_357_210_0_0_crop.jpg)
Na WAF, Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Stanslaus Nyongo ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kuongeza kasi na Ufanisi wa utoaji ... Soma Zaidi
![image description](https://www.moh.go.tz/storage/app/uploads/public/64d/cac/cbb/thumb_999_357_210_0_0_crop.jpg)
Mwanamitindo na Mwigizaji wa Kimataifa Molly Sims ambaye ni Mke wa Mwenyekiti wa Netflix Films, Scott Stuber, amechangia Dola Elfu 25 ambayo sawa na shilingi Milioni 62 za Kitanzania kwa aji... Soma Zaidi
![image description](https://www.moh.go.tz/storage/app/uploads/public/64d/c5f/01a/thumb_997_357_210_0_0_crop.jpg)
Na. Majid Abdulkarim, Mbarali Madaktari Bingwa wa macho wameweka kambi ya wiki moja Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya kwa ajili ya kuwatafuta wagonjwa wenye matatizo ya mtoto wa jicho amba... Soma Zaidi
![image description](https://www.moh.go.tz/storage/app/uploads/public/64d/c5d/903/thumb_996_357_210_0_0_crop.jpg)
Na WAF, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na masuala ya UKIMWI imeitaka Bohari Kuu ya Dawa (MSD) nchini kuongeza kasi ya usambazaji wa bidhaa za Dawa pamoja na kuwa na maghala ya... Soma Zaidi
![image description](https://www.moh.go.tz/storage/app/uploads/public/64d/c5f/f6e/thumb_998_357_210_0_0_crop.jpg)
Na WAF, Dodoma. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe amewataka wataalam wa TEHAMA kufanyia kazi mifumo ya taarifa ya Wizara ili iweze kuwasiliana na kuwa na mifumo michache y... Soma Zaidi