Na WAF – Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amewawaagiza watumishi na wataalam wote wa Afya nchini kuimarisha mahudhurio kwa kuhakikisha wanakuwepo maeneo... Soma Zaidi
Habari
Serikali ya awamu ya sita (6) inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeanza rasmi utekelezaji za Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa A... Soma Zaidi
Na WAF - Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema Serikali imetenga bajeti kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha matibabu ya Saratani katika Mkoa wa Mbeya. Waziri Ummy leo ... Soma Zaidi
Na WAF – Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye amewataka Madaktari Bingwa wa Rais Samia kufanya kazi kwa upendo uadilifu, weledi na utu katika utoaji wa huduma za kib... Soma Zaidi
Na WAF – Dodoma Waziri wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametoa maelekezo kwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) kushirikiana na Wabunge kusambaza vifaa tiba ikiwemo vitanda vy... Soma Zaidi
Na WAF - Katavi Ujio wa Madaktari Bingwa wa Rais Samia katika mkoa wa Katavi utasaidia wananchi kupata huduma za kibingwa kwa gharama nafuu katika hospitali za wilaya zao hivyo wa... Soma Zaidi
Na WAF, TABORA Madaktari Bingwa wa Rais Samia wapatao 40 wamepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Chacha shabaha ikiwa ni kutoa huduma za kibingwa kwa wananchi kupitia kam... Soma Zaidi
Na WAF - Marekani Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema ugonjwa wa Saratani unashika nafasi ya pili kwa kusababisha vifo ulimwenguni, huku wanawake wakiwa waathirika zai... Soma Zaidi
Na WAF- Marekani Tanzania yapewa tunzo ya Global impact award 2024 kwa kazi kubwa zenye matokeo chanya zinazofanywa katika mapambano dhidi ya saratani ikiwemo chanjo ya HPV kwa wa... Soma Zaidi
Na WAF - Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amesema Serikali inaeendela kuwekeza upande wa Sayasi kwaajili ya kutatua changamoto za kijamii h... Soma Zaidi