Na. WAF - Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya inafanya juhudi za kuhakikisha Hospitali zote Nchini zinakua na wodi maalum za uangalizi wa watoto njiti (NICU) na kushuka had... Soma Zaidi
Habari
Na. WAF - Dar es Salaam Serikali inatarajiwa kujenga Hospitali ya Wilaya ya Temeke katika eneo la Vikuruti lilipo Chamazi, Mbagala katika Halmashauri ya Manispaa ya Temeke mkoani Dar es... Soma Zaidi
Na: Shaban Juma, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Y. Janabi amewataka Wananchi kupima afya zao kabla ya kufanya mazoezi ili kusaidia katika kuboresha ... Soma Zaidi
Na WAF, Dodoma. Hospitali ya Taifa ya Muhimbili iko mbioni kuanza kutoa huduma za upandikizaji mimba kwa mashine maalum (IVF - In vitro Fertilization) Hayo yamesemwa na Mkurugenzi ... Soma Zaidi
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imefanya upasuaji wa kuondoa uvimbe kwenye sakafu ya ubongo kupitia pua (Endoscopic transphenoidal pituitary) bila kupasua fuvu la kichwa ambapo tangu... Soma Zaidi
Na. WAF - Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu leo ametembelea Hospitali ya Mbagala Rangi Tatu na kukagua mradi wa ujenzi wa hospitali hiyo itakayo kuwa na Ghorofa Sita na ita... Soma Zaidi
Mwananchi kutoka nchini Malawi Jane Chimuyaka aliyekuwa akisumbuliwa na magonjwa ya moyo ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Tanzania kwa kuanzisha matibabu ya moyo nchini kusaidia wagonjwa w... Soma Zaidi
Na WAF- Kagera NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametoa wito kwa Wadau na watendaji wote wa Serikali kuhakikisha fedha zote zinazoingia nchini na zinazotoka Serikalini kupitia zia... Soma Zaidi
Taasisi ya Saratani Ocean Road yaanza kutoa za Huduma za urekebishaji wa mfumo wa nyongo iliyoziba pasipo upasuaji ambapo mfumo huo unapoziba kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo saratani k... Soma Zaidi
Na Shaban Juma, Songwe Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Hellen Keller wamefanikiwa kuwatibu watu zaidi ya 200 katika huduma za mkoba za upasuaji wa mtoto wa jicho ik... Soma Zaidi