Na WAF, DODOMA Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama leo Oktoba 17, 2024 amekutana na Uongozi wa Chama cha Wauguzi na Ukunga Tanzania (TANNA) na kujadili mpango kazi wa utekelezaji wa hoj... Soma Zaidi

Na WAF, DODOMA Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama leo Oktoba 17, 2024 amekutana na Uongozi wa Chama cha Wauguzi na Ukunga Tanzania (TANNA) na kujadili mpango kazi wa utekelezaji wa hoj... Soma Zaidi
Na WAF -DODOMA Kamati ya Kudumu ya Bunge na Masuala ya Ukimwi chini ya Makamu Mwenyekiti wake Mhe. Bernadetha Mshashu imeyataka Mabaraza ya maabara na famasi kuzingatia ubora wa huduma ... Soma Zaidi
Jitihadi zinazochukuliwa na Wizara ya Afya kupitia Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria (NMCP) kwa kushirikiana na OR-TAMISEMI na wadau wa Sekta zimechangia kupungua kwa kiwango cha maambuki... Soma Zaidi
Na WAF, DSM Serikali imesisitiza umuhimu wa sekta ya Umma na binafsi kushirikiana ili kuboresha huduma za matibabu ya saratani nchini. Wito huo umetolewa leo Oktoba 16, 2024 na Mga... Soma Zaidi
Na WAF - Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Aboubakar Kunenge amewasihi Madaktari Bingwa ambao wameweka kambi ya kutoa matibabu mkoani humo kuhakikisha ujuzi na uwezo wa ki... Soma Zaidi
Na WAF - DSM Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila ameiasa timu ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia wapatao 35 kuja na majibu ya kitafiti kutoka kwa wagonjwa watakayokuna na... Soma Zaidi
Na WAF - Mwanza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewahimiza wananchi kufanya mazoezi ili kuepuka tabia bwete inayosababisha kupata magonjwa yasiyoa... Soma Zaidi
Na WAF Pwani Madaktari Bingwa 55 wa fani mbalimbali wanatarajia kutoa huduma za matibabu ya kibingwa na bobezi kwa siku saba katika Halmashauri tisa (9) za mkoa wa Pwani. Hayo yame... Soma Zaidi
Na WAF - Morogoro Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima amewapokea Madaktari Bingwa 49 wa Rais Samia kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu kwa siku sita katika hospitali za halmasha... Soma Zaidi
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipuko ikiwa ni pamoja na Mpox na Marburg. Akizungumza na wataalamu wa Afya wa Uwanja Ndege na Bandar... Soma Zaidi