Na WAF - PWANI Imeelezwa kuwa kila mhudumu wa afya ngazi ya jamii akitekeleza jukumu la kuiwezesha jamii kufikiwa na matibabu ya msingi mapema, itaisaidia kuepukana na vifo, umaskini na... Soma Zaidi

Na WAF - PWANI Imeelezwa kuwa kila mhudumu wa afya ngazi ya jamii akitekeleza jukumu la kuiwezesha jamii kufikiwa na matibabu ya msingi mapema, itaisaidia kuepukana na vifo, umaskini na... Soma Zaidi
Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amezindua rasmi mashine ya MRI inayotoa huduma za uchunguzi wa magonjwa ya shinikizo la juu la damu, magonjwa ya moyo pamoja na majeraha makubwa ya mif... Soma Zaidi
Na WAF - Dar es Salaam. Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imeendelea kufanya jitihada Mahsusi za kutekeleza afua mbal... Soma Zaidi
Na WAF-Mogadishu, Somalia Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel ameshiriki hafla ya utiaji saini Makubaliano ya Ushirikiano na Hati za Makubaliano (MoU) kati ya Serikali ya Somalia n... Soma Zaidi
Na WAF – Dar es Salaam Serikali na wadau wa maendeleo ya afya wameendelea kupambana na ugonjwa wa kipindupindu kwa kuchukua hatua madhubuti, ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa umma kuhu... Soma Zaidi
Na WAF - Dodoma Balaza jipya la Famasi nchini limetakiwa kusimamia kwa weledi taaluma ili kuleta tija na ufanisi kwenye utendaji. Rai hiyo imetolewa Desemba 17, 2024 na Waziri wa A... Soma Zaidi
Na WAF - DSM Serikali imedhamiria kushughulikia masuala ya ukatili wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto nchini, kwa kuzidi kuimarisha mifumo, miundombinu na uratibu katika vituo vya k... Soma Zaidi
Na WAF, DODOMA Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi kutaleta matumaini mapya na uelekeo thabiti wa Bima ya Afya hususan kwa kundi la watoto ambalo l... Soma Zaidi
Na WAF, Kilimanjaro Serikali imetoa Shilingi Bilioni Nne (4) kati ya Bilioni 5.2 zinazotarajiwa kutumika kwa ajili ya ujenzi wa kitengo cha kisasa cha tiba ya mionzi kwa ajili ya sarata... Soma Zaidi
Na WAF, Arusha Vifo vinavyotokana na uzazi na watoto wachanga vimeendelea kupungua kutoka vifo 135 kwa mwaka 2022 hadi vifo 101 mwaka 2023 kwa mikoa ya Kanda ya Kaskazini. Hayo yam... Soma Zaidi