Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu leo Oktoba 29, 2024 ameshiriki kwenye Kongamano la Bima ya Afya kwa wote na Jukwaa la Kimataifa la Ugharamiaji wa Huduma za Afya katika Sekta ya Af... Soma Zaidi
Habari
Na WAF - Dodoma Serikali kupitia mkakati wa tano wa Sekta ya Afya (HSSP V) imetangaza mipango na mikakati madhubuti ya kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza, ikiwemo ugonjwa wa ki... Soma Zaidi
Na WAF, Iringa Timu ya Madaktari Bingwa 37 wa Rais Samia inayozunguka nchi nzima kwa ajili ya kutoa huduma za Kibingwa imewasili katika Mkoa wa Iringa na kuweka kambi ya muda wa wiki mo... Soma Zaidi
Na WAF – Njombe Wananchi wa Mkoa wa Njombe wametakiwa kutumia fursa ya uwepo wa madaktari bingwa na bobezi katika hospitali za halmashauri zote sita ili kupata matibabu ya kibingwa. ... Soma Zaidi
Na WAF, Dar es Salaam. Wizara ya Afya imewaasa wahariri wa vyombo vya habari kote nchini kuendelea kutumia kalamu zao na majukwaa yao ya kihabari kutoa elimu kwa jamii kuhusu kujikinga ... Soma Zaidi
Na WAF - RUVUMA Madaktari Bingwa wa Rais Samia wapatao 56 wamepokelewa mkoani Ruvuma na uongozi wa mkoa huo kwa ajili ya kambi ya matibabu ya siku sita (6) katika wilaya zote nane (8) z... Soma Zaidi
Na WAF Dar es salaam Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametoa rai kwa Viongozi wa Dini kote nchini, kutumia majukwaa yao kusaidia Serikali kutoa elimu sahihi ya kuepuka na kukabil... Soma Zaidi
Jumla ya Shilingi Bilioni 1.2 zimekusanywa katika harambee ya uchangiaji kwa ajili ya upanuzi na ukarabati wa majengo ya mama na mtoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Amana. Haf... Soma Zaidi
Na WAF – Dar es Salaam Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka wadau wa maendeleo wanaosimamia miradi ya afya nchini, kuhakikisha wanatumia fedha za miradi hiyo kwa malengo hu... Soma Zaidi
Na WAF - MONDULI Timu ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia iliyoweka kambi wilayani Monduli mkoani Arusha imefanikiwa kuzindua jengo jipya la upasuaji katika Hospitali ya wilaya ikiwa ni m... Soma Zaidi