Serikali kupitia Wizara ya Afya inajipanga kupunguza idadi ya Watoto wanaozaliwa na maambukizi ya VVU kutoka kwa mama nchini. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalim... Soma Zaidi
Habari
Na WAF – Moshi, Kilimanjaro. Viongozi wa Dini na Kimila wa Mkoa wa Kilimanjaro wameombwa kushirikiana na Serikali katika kuelimisha wananchi kujikinga na ugonjwa wa UVIKO-19 pamoja na kut... Soma Zaidi
Na. Wizara ya Afya - Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya imepokea msaada wa dawa pamoja na vifaa tiba vyenye thamani ya Tsh: Mil. 864 vitavyosaidia katika kupambana dhidi ... Soma Zaidi
Na. Wizara ya Afya - Dar es salaam Serikali imepokea msaada wa Dawa zenye thamani ya Mil. 341 kwa ajili ya kampeni ya minyoo pamoja na kuongeza virutubisho kwenye mwili kutoka ka... Soma Zaidi
Na Mwandishi Maalum Wanahabari watatu wa Tanzania wameibuka kidedea katika tuzo za umahiri uandishi wa habari kuhusu afya ya uzazi, Barani Afrika za 'Merck More Than a Mother - 2021}, ... Soma Zaidi
Na WAF - DODOMA Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema atakwenda kushughulikia changamoto za utoaji wa huduma za Afya ambayo imekuwa ikilalamikiwa sana mitandaoni na kuripotiwa ka... Soma Zaidi
Na WAMJW-DODOMA. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imekabidhi vifaa vya kujikinga na UVIKO-19 kwa Mikoa 12 ya Tanzania Bara na Mitano ya Zanzibar vilivyotol... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAMJW, DSM. Serikali imewakumbusha wakina mama wajawazito walio kwenye kundi la wenye vidokezo vya hatari na uzazi pingamizi kuwahi kwenye vituo vya afya ili kujifungua sal... Soma Zaidi
Na WAMJW-DSM Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea Chanjo za UVIKO 19 Dozi 376,320 aina ya Moderna ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wa ... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAMJW, DSM Benki ya Dunia imeonesha utayari kwa Tanzania katika uwekezaji wa kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu na kusaidia masuala ya Chanjo ya Uviko 19, Mama na Mtoto... Soma Zaidi