NA: WAF, Dar es Salaam Waziri wa afya Mhe. Ummy Mwalimu ametoa rai kwa Wadau wa Maendeleo kuunga mkono jitihada za Serikali kwa kuwekeza zaidi nchini kwenye Sekta ya Afya huku wakiiga m... Soma Zaidi
Habari
Na WAF - Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu amewahimiza wabunifu wa Huduma za Afya za Kidigitali kushirikiana na Serikali ili kuweza kuboresha huduma bora za kia... Soma Zaidi
Na. WAF - Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema asilimia 81 ya wajawazito nchini wanajifungulia katika vituo vya kutoa huduma za Afya ukilinganisha na asilimia 63 kwa mwaka 2016... Soma Zaidi
Na WAF, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amekutana na Shirika la Kimataifa la Ushirikiano la Japan JICA kujadili namna ya kuboresha huduma bora za afya kupitia ... Soma Zaidi
Na.Elimu ya Afya kwa Umma. Tanzania inajivunia kuanzishwa kwa Kurugenzi Maalum ya Uratibu wa Afya Moja ndani ya Ofisi ya Waziri Mkuu, yenye lengo la kuoanisha afua katika Wiza... Soma Zaidi
Na. WAF - Morogoro Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu ameilekeza Bohari ya Dawa (MSD) kuwajali wateja na kuwashirikisha katika suala zima la kuwapa huduma za mnyororo wa ugavi wa ... Soma Zaidi
NA, WAF, Dar es salaam Mkurugenzi Msaidizi wa Mipango na Bajeti wa Wizara ya Afya Bw. Lusajo Ndagile, amewapitisha kwenye Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote Umoja wa Wamiliki wa Vituo Binafs... Soma Zaidi
Na Mwandishi wetu – Dar Es Salaam. Upasuaji mdogo wa moyo wa kubadilisha valvu ya mshipa mkubwa wa damu (Aortic Valve) bila kufungua kifua (Transcatheter Aortic Valve Implantation procedu... Soma Zaidi
Na WAF Dar Es Salaam. Wizara ya Afya kupitia Naibu Katibu Mkuu Dkt. Grace Magembe pamoja na wataalam wamekutana na Wadau wa Maendeleo wa Sekta ya Afya nchini na kujadili namna wanavyoweza... Soma Zaidi
Na. WAF, Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan amegawa magari 16 na Pikipiki 20 yakiwemo magari matatu ya kubebea wahi... Soma Zaidi