Na Hassan Kimweri, WAF - Pwani Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo pamoja na nchi jirani katika kuimarisha ... Soma Zaidi
Na Hassan Kimweri, WAF - Pwani Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo pamoja na nchi jirani katika kuimarisha ... Soma Zaidi
Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kutokubali jiografia kuwa kikwazo cha ukosefu wa huduma bora za afya kwa wananchi hususani watoto. Hayo yamebainishwa na waziri wa Afya ... Soma Zaidi
Boti saba za kisasa zilizozinduliwa na Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, katika Bandari ya Nyamisati, zimetajwa kuwa na teknolojia ya hali ya juu inayolenga kuhakikisha usalama na kas... Soma Zaidi
Na Hassan Kimweri, WAF - Pwani Serikali imeendelea kuimarisha huduma za chanjo nchini kupitia uzinduzi wa boti saba zenye thamani ya shilingi Bilioni 1.1 zitakazosaidia kusambaza chanjo... Soma Zaidi
Na Zakayo Mosha, WAF-Tabora Msajili wa tiba asili na Tiba Mbadala Bi. Lucy Mziray amesema kuwa, mkoa wa Tabora umeitikia wito wa Serikali uliotolewa hivi karibuni na Waziri wa afya Mhe.... Soma Zaidi
Wizara ya Afya kwa kushirikiana na mdau KOFIH imewapa mafunzo ya siku tatu Wataalam wa Maabara nchini wanaotarajiwa kutumia miongozo yenye viwango va kimataifa wakati wa kukusanya, kufung... Soma Zaidi
Na Cletus Sanga – WAF, Morogoro Serikali kwa kushirikiana na Shirika la CIHEB Tanzania kupitia mradi wa Usalama wa Afya Duniani (Global Health Security), imeendelea kujenga mtandao imar... Soma Zaidi
Serikali imeendelea na jitihada za kuimarisha afya ya jamii na kukabiliana na milipuko ya ugonjwa wa kuambukiza wa kipindupindu kwa kuendesha mafunzo maalum yanayolenga kuongeza utayari na u... Soma Zaidi
Na. WAF - Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya nchini, imeendelea kuratibu kikao maalum cha kitaifa c... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAF-Dodoma Serikali imetangaza mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Malaria nchini, huku takwimu zikionesha kupungua kwa maambukizi kwa asilimia 30 kuto... Soma Zaidi