Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa kiwango cha udumavu miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano nchini kimeshuka kutoka asilimia 48 mwaka 1992 hadi asilimia 30 mwa... Soma Zaidi

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa kiwango cha udumavu miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano nchini kimeshuka kutoka asilimia 48 mwaka 1992 hadi asilimia 30 mwa... Soma Zaidi
NA WAF – RUKWA Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Mhe. Nyakia Ally Chirukile, amezindua rasmi jengo jipya la uzazi katika wilaya hiyo, hatua inayolenga kuboresha huduma za afya ya uzazi kwa ... Soma Zaidi
Na WAF Dar es Salaam Katika kutekeleza azma ya mageuzi katika sekta ya afya nchini, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeweka historia kwa kuwa taasisi ya kwanza Afrika Mashariki kufan... Soma Zaidi
Na WAF, Kigoma Madaktari Bingwa 48 kutoka Mpango wa Madaktari Bingwa wa Mama Samia wamewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya kutoa huduma za afya za kibingwa kwa wananchi pamoja na kuwajeng... Soma Zaidi
Na WAF, Tabora Kampeni ya Madaktari Bingwa wa Rais Dkt. Samia nchini imetajwa kuwa chachu ya kupata huduma bora za afya kwa wananchi wa kipato cha chini bila kutumia gharama kubwa, kuok... Soma Zaidi
Na WAF, Katavi Wananchi wa Halmashauri tano (5) za mkoa wa Katavi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kunufaika na huduma za matibabu ya kibingwa zinazoanza kutolewa leo na Madkatari Bi... Soma Zaidi
NA WAF – RUKWA Timu ya Wataalam na Madaktari 28 Bingwa na Bobezi wamewasili mkoani Rukwa na kupokelewa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Dkt. Ibrahim Isack kwa ajili ya kutoa huduma za k... Soma Zaidi
Jamii ya wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara imehimizwa umuhimu wa kutumia maji safi na tiririka katika kusafisha jeraha la mtu aliyeng'atwa na mbwa mwenye ugonjwa wa Kichaa. Wito huo umeto... Soma Zaidi
NA WAF – DODOMA Tanzania imepiga hatua kubwa katika suala la uzazi wa mpango katika kipindi cha miongo mitatu iliyopita, hatua ambazo zimeendelea kuboresha afya ya jamii na kuchangia ma... Soma Zaidi
Mkurugenzi Msaidizi wa Sehemu ya Elimu ya Afya kwa Umma kutoka Wizara ya Afya Dkt. Ona Machangu amesema Mpango Jumuishi wa Hudumu wa Afya Ngazi ya Jamii una umuhimu mkubwa katika msingi wa a... Soma Zaidi