Na WAF, Dodoma Serikali imetoa wito kwa Wizara, Idara na Taasisi nyingine kuongeza nguvu kwenye mapambano ya vita dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza ili kufikia malengo ya kuzuia na kudhi... Soma Zaidi
Habari
Na WAF - Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama leo Novemba 13, 2024 amekutana na Mwakilishi mkazi wa Shirika la Afya Duniani (World Health Organization- WHO) Dkt. Charles Sa... Soma Zaidi
Na WAF - Geita, Katoro Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Geita, Dkt. Modest Buchard amesema miongoni mwa faida ya kambi ya matibabu ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia nikuongeza molari na ha... Soma Zaidi
Na-WAF Manyara Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema hadi sasa mikoa 16 imewezeshwa kuanzisha na kuendesha vituo vya kuratibu dharura za kiafya na majanga (EOC), Manyara ukiwa mkoa wa... Soma Zaidi
Na Waf Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Uingereza zimesaini Mkataba wa nyongeza wa Hati ya Makubaliano ya Mfuko wa Afya wa Pamoja wen... Soma Zaidi
Na WAF, SIMIYU. Upatikanaji wa huduma bora za afya ngazi ya msingi hususani katika maeneo ya pembezoni mwa vijiji na miji, imetajwa kuwa kichocheo kikubwa cha wananchi kuachana na imani... Soma Zaidi
Na WAF – MARA Mkuu wa mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Mtambi amewataka viongozi wote watumie fursa ya Madaktari Bingwa mkoani humo kuhakikisha kila mwananchi mwenye changamoto anafika ku... Soma Zaidi
Na WAF, Geita Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Bw. Mohamed Gombati amesema matarajio ya uongozi wa mkoa huo ni kuona kambi ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia inapunguza gharama za matibabu... Soma Zaidi
Na. WAF-Bukoba Madaktari Bingwa wa Rais Samia wameupongeza uongozi wa Hospitali ya Wilaya ya Bukoba na Timu ya Usimamizi wa Huduma za afya (CHMT) kutokana na huduma nzuri wanazozitoa kw... Soma Zaidi
Na WAF - Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema awamu ya kwanza ya ujenzi wa jengo la kuwahifadhi wahisiwa wa magonjwa ya kuambukiza lililopo mpaka wa Mutukula Wilaya y... Soma Zaidi