Na. WAF, Dar Es Salaam. Wagonjwa zaidi ya 6000 kutoka nje ya nchi wamepatiwa matibabu katika hospitali ya taifa, taasisi za afya, Hospital za Kanda na Hospitali za Rufaa za Mikoa ... Soma Zaidi
Habari
Na. WAF, Dar Es Salaam. Serikali kupitia Wizara afya imepokea vidonge vya matone ya Vitamini A milioni 22 kutoka kwa shirika la Nutritrion International kwa ajili ya kuwapatie wat... Soma Zaidi
Na: WAF, Nachingwea-Lindi Naibu Katibu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ameagiza kukamilika kwa ujenzi wa jengo la Chuo cha Uuguzi na Ukunga Nachingwea ifikapo mwezi Septemb... Soma Zaidi
Na. WAF - Mwanza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Afya imetenga Tsh: Bilioni Nne katika bajeti ya Mwaka huu 2023/24 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Hosp... Soma Zaidi
NA: WAF, Liwale-Lindi Halmashauri ya Wilaya ya Liwale imeendelea kupunguza vifo vya Mama na Mtoto na kuboresha huduma hizo kwa kuwa na miundombinu rafiki ya huduma za afya na kupi... Soma Zaidi
Na. WAF - Dar Es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya imesitisha kampeni ya umezeshaji wa kingatiba za ugonjwa wa Mabusha na Matende katika Halmashauri ya Jijini la Da Es Salaam... Soma Zaidi
Na WAF - Dar Es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuna haja ya Serikali kupitia Wizara ya Afya kushirikiana na Wizara za kisekta kuja na mtaala ambao utalenga kuelim... Soma Zaidi
Na WAF - DAR ES SALAAM Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu ametoa wito kwa wadau wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF pamoja na Kamati ya mapitio ya maboresho ya kitit... Soma Zaidi
Na: WAF, Mtwara Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ameagiza kukamilika kwa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Machi 31, 2024 ... Soma Zaidi
Na. WAF – Dar Es Salaam Serikali kupitia Wizara ya afya imedhamiria kuendelea kuimarisha mifumo ya Sekta ya Afya itakayomuwezesha mwananchi kupata huduma bora za Afya popote nchin... Soma Zaidi