SERIKALI KUJA NA MKAKATI WA KUWASHIRIKISHA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KWENYE AJENDA YA UBORA WA HUDUMA
. Na WAF- DSM SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imejipanga kuja na mkakati wa kushirikisha Wakuu wa Mikoa na Wilaya katika ajenda ya ubora wa huduma kwa wananchi ikiwa ni ajenda ya... Soma Zaidi