NA: WAF, Mwanza Watumishi Sekta ya Afya wametakiwa kuhakikisha wanasimamia vyema sheria ndogondogo za serikali za mitaa katika kukabiliana na Ugonjwa wa Kipindupindu ili kuhakikisha afy... Soma Zaidi
Habari
NA; WAF, Shinyanga. Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu amewataka wananchi kuchukua tahadhari kwa kufanya usafi na kuzingatia matumizi sahihi ya vyoo Pamoja na kunywa maji saf... Soma Zaidi
Serikali kupitia Wizara ya Afya imefanya mabadiliko ya kiuongozi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga-Bombo ikiwa na lengo la kuhakikisha inaendelea kuboresha huduma na kuongeza ... Soma Zaidi
Na WAF Geneva, Uswisi Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu ametoa wito kwa Shirika la Afya Duniani WHO kushirikiana na kujenga uwezo kwa nchi wanachama katika kudhibiti atha... Soma Zaidi
Na: WAF – Dar es Salaam Nchi za Tanzania na China zimekubaliana kuanzisha mfumo wa wa pamoja wa upatikanaji wa vifaa tiba vinavyotumika kutoa huduma za matibabu ya moyo kutoka nchini Ch... Soma Zaidi
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amezitaka Hoslitali zote za Umma kutekeleza kwa ukamilifu maelekezo yaliyokwisha tolewa na Serikali ya Marufuku Hospitali kuzuia miili ya marehemu kwa kigezo... Soma Zaidi
Na. WAF - Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya imedhamiria kuimarisha na kuwekeza kwenye Afya za vijana balehe hasa katika hali za Lishe, Afya ya Akili pamoja na elimu ili k... Soma Zaidi
Bohari ya Dawa (MSD) imeanza kutekeleza agizo la Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu la kusambaza vifaatiba vya Huduma za Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto katika Majimbo yote 214 Tanzania bara. ... Soma Zaidi
Na. WAF - Mbeya Serikali kupitia Wizara ya Afya imepongezwa kwa juhudi kubwa inayoendelea kufanya za kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi, mama na mtoto ikiwa ni kipaumbele cha Rais Dkt.... Soma Zaidi
Na. Majid Abdulkarim, Dodma Wizara ya Afya imepokea paketi 2,952 sawa na pedi 29,520 ikiwa ni ishara ya kuzindua rasmi Kampeni ya kuchangia pedi kwa wanafunzi ambazo zitagawiwa kwa wasi... Soma Zaidi