Na. WAF - Dar es Salaam Serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 9 kwa ajili ya kusomesha wataalam bingw... Soma Zaidi

Na. WAF - Dar es Salaam Serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 9 kwa ajili ya kusomesha wataalam bingw... Soma Zaidi
Na. WAF - Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa Tanzania inakwenda kuwa kitovu cha Tiba Utalii kwa kutoa huduma za Afya kwa wagonjwa maalumu wa ndani na nje ya nje... Soma Zaidi
Na WAF – Dodoma Hayo yamesemwa 23 Novemba na Msajili wa Baraza la Optometria Bw. Sebastiano G. Millanzi katika kikao cha uboreshaji wa huduma za macho Mkoa wa Dodoma katika ukumbi wa Ja... Soma Zaidi
Na. WAF - Tanga Tume iliyoundwa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu kuchunguza kifo Cha mjamzito, Mariam Zahoro imebaini kuwa kifo hicho kilitokana na uzembe wa wataalam wa Afya na sio ... Soma Zaidi
Na WAF – Shinyanga Wataalamu wa Afya wametakiwa kutumia taaluma na ueledi walionao kwa kuzingatia mafunzo ya chati uchungu ili kupunguza idadi ya vifo vya Mama na Mtoto ambavyo vimekuwa... Soma Zaidi
Na. WAF - Tanga Watumishi wawili wakutwa na tuhuma za kujibu kwenye kifo cha Bi. Mariam Zahoro mkazi wa Kijiji cha Mumbwi katika Wilaya ya Handeni kilichotokea kwenye Kituo cha Af... Soma Zaidi
Bohari ya Dawa (MSD), imetwaa tuzo ya Mlipa kodi Bora kwa mwaka 2023 ya Mamlaka ya Kodi Tanzania. Tuzo hizo zilitolewa jana usiku katika hafla maalum ya wiki ya Mlipakodi zilizofanyika ... Soma Zaidi
Na WAF - Luanda, Angola. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu amemuwakilisha Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu katika mkutano wa Jumuiya ya SADC wa Mawaziri wa Afya na Mawazir... Soma Zaidi
Na WAF – DAR ES SALAM Mpango Mpya wa Kudhibiti UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Homa ya Ini (NASHCoP) umezinduliwa leo rasmi ambapo umekabidhiwa dhamana ya kutokomeza maambukizi mapya ya Vi... Soma Zaidi
Serikali kupitia Wizara ya Afya imepanga kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe iliyopo katika kata ya Vwawa, Wilaya ya Mbozi mkoani humo kabla ya mwaka 2025 H... Soma Zaidi