Na. WAF - Ngara Mtoto wa miaka 10 aliyeteseka na uvimbe kinywani kwa zaidi ya miaka sita (6) kwa kukosa fedha za kufanyiwa upasuaji, leo Novemba 6, 2024 amefanyiwa upasuaji na Madaktari... Read More

Na. WAF - Ngara Mtoto wa miaka 10 aliyeteseka na uvimbe kinywani kwa zaidi ya miaka sita (6) kwa kukosa fedha za kufanyiwa upasuaji, leo Novemba 6, 2024 amefanyiwa upasuaji na Madaktari... Read More
Na WAF - Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema matumizi holela ya dawa, hasa za maumivu na zinazotibu magonjwa mbalimbali ya muda mrefu zimetajwa kuwa ni moja ya vichoc... Read More
Na WAF-Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewahimiza wanachama wa Chama cha Wataalamu wa Radiografia Tanzania (TARA) kuvilinda na kuvitunza vifaa vya radiolojia ili kuleta ... Read More
Na WAF- Bukoba Kambi ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia Suluhu Hassan Mkoani Kagera imeleta tija kwa kumaliza Rufaa zisiso za msingi za nje ya mkoa kutokana na huduma za kibingwa zilizow... Read More
Na WAF, MWANZA Hospitali tisa (9) za Halmashauri nane (8) za mkoa wa Mwanza zimepokea Madaktari Bingwa na Bobezi wa Rais Samia wapatao 63 watakaofanya shughuli za kibingwa kwa siku sita... Read More
Na WAF - Shinyanga Mkoa wa Shinyanga leo tarehe 4 Novemba, 2024 umepokea Madaktari Bingwa 47 wa Rais Samia ambao watatoa huduma za matibabu ya kibingwa katika hospitali za halmashauri z... Read More
Na WAF-Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ameeleza kuwa Serikali imeanza mchakato wa kuanzisha Programu ya Taifa ya Lishe baada ya Serikali kuifuta Taasisi ya Chakula na Lis... Read More
NA WAF – MBEYA Wananchi wa Kyela wametakiwa kuachana na imani potofu kuhusu matibabu ya macho na badala yake watumie huduma za afya zinazotolewa na wataalamu wa afya. Hayo yameelez... Read More
Na WAF - NYASA Timu ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia wilayani Nyasa mkoani Ruvuma na imefanikiwa kuzindua huduma mpya ya kinywa na meno katika Hospitali ya wilaya na kuokoa meno ya wat... Read More
Na WAF - Simiyu Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu amewataka wataalamu wa afya na uongozi wa mkoa wa Simiyu kuhakikisha kuwa wananchi wa mkoa huo wanatumia maji safi na salama k... Read More