Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo amezindua mradi wa macho kwa Mikoa ya Tanga, Kagera, Manyara na Mtwara wenye thamani ya Tshs Bilioni 1.2 pamoja na kupokea vifaatiba vya huduma za macho vyeny... Read More

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo amezindua mradi wa macho kwa Mikoa ya Tanga, Kagera, Manyara na Mtwara wenye thamani ya Tshs Bilioni 1.2 pamoja na kupokea vifaatiba vya huduma za macho vyeny... Read More
Na. WAF - Mtwara Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brig. Gen. Marco Gaguti ametoa rai kwa wakazi wa Mkoa huo kujitokeza kwa wingi katika tamasha la mziki mnene litakalofanyika katika viwanja vya N... Read More
Hadi kufikia tarehe 18 Julai, 2022 jumla ya wananchi milioni 11.5 sawa na asilimia 37 ya watu wenye umri wa miaka 18 na kuendelea wamepata chanjo kamili ya UVIKO-19 hapa nchini. Hayo ya... Read More
Viongozi wa Serikali za Mitaa nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha wananchi kufanya usafi wa mazingira kwenye maeneo yao pamoja na kufukia madimbwi yote ili kuteketeza m... Read More
Na.Catherine Sungura,Siha Madaktari na watoa huduma wote nchini wametakiwa kuendelea kuwa wenye upendo, kujituma, kujitoa na kuzingatia weledi na maadili ya tasnia ya utabibu. Kaul... Read More
Tanzania ni kati ya nchi tano Afrika na ni nchi pekee Afrika Mashariki inayozalisha mionzi dawa. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri na Mbunge wa jimbo la Siha Dkt. Gwodin Mollel wakati wa u... Read More
Na.Catherine Sungura,Siha Kukamilika kwa Maabara ya Afya ya Jamii ngazi ya 3 ya usalama iliyoko kwenye hospitali maalumu ya magonjwa Ambukizi-Kibong'oto Itachangia katika udhibiti wa ku... Read More
Na. Catherine Sungura, Siha Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amemuahidi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Phillip Mpango kuwa Maabara ya afya ya jamii ya Kibong'oto... Read More
Na.Catherine Sungura-Siha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdory Mpango ameitaka Wizara ya Afya kuendelea kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji wa mwenendo... Read More
Na.WAF-Manyara Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Shirika lisilokuwa la Kiserikali la Sightsavers Tanzania pamoja na Shirika la Helen Keller International kwa pamoja wamezindua mradi wa... Read More