Waziri wa Afya, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa, amesema ushirikiano wa kuvuka mipaka ni muhimu kwenye mapambano dhidi ya malaria na Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTDs). Amesema ... Read More
Waziri wa Afya, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa, amesema ushirikiano wa kuvuka mipaka ni muhimu kwenye mapambano dhidi ya malaria na Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTDs). Amesema ... Read More
Viongozi wametakiwa kubadilika kulingana na teknolojia ya sasa na kuacha kuwa kiongozi anayeshangaa mabadiliko ili kuendana na kasi ya ulimwengu kwa kuchochea ubunifu na uvumbuzi. Kauli... Read More
Hospitali ya Taifa Muhimbili imezindua gari maalum la upasuaji la Kwanza na la kipekee kuwahi kuwepo hapa Nchini kwa lengo la kuwezesha utoaji wa huduma za kibingwa za upasuaji katika maeneo... Read More
Wauguzi na Wakunga nchini, wametakiwa kuzingatia utu, staha na mawasiliano mazuri kati ya watoa huduma na wananchi ili wagonjwa waweze kuelewa hali zao za kiafya, dawa wanazotumia pamoja na ... Read More
Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI imeandaa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wauguzi Viongozi ngazi ya Mikoa, Halmashauri, Hospitali ya Taifa, Hospitali za Kanda, Hospi... Read More
Wizara ya Afya kupitia Maabara ya Taifa imeendelea kuimarisha uwezo wa kudhibiti magonjwa ya mlipuko kwa kutumia vifaa vya kisasa na Wataalamu wa afya. Maboresho hayo yameongeza uwezo wa uch... Read More
Wizara ya Afya kupitia Kitengo cha Dharura na Maafa kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI pamoja na wadau mbalimbali, inaendelea kuimarisha huduma za dharura, ajali na wagonjwa... Read More
Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) kupitia Mradi wa Pandemic Fund imeendelea kuwekeza katika kuimarisha huduma za uchunguzi wa maabara na matumizi sahihi ya dawa, hus... Read More
Na John Mapepele Geneva – Uswisi Wakati dunia ikiendelea kuharakisha matumizi ya mifumo ya afya inayotegemea teknolojia ya kidijitali, Tanzania inaendelea kujijengea nafasi kama moja ... Read More
Na Atley Kuni, WAF-Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imewahakikishia wananchi kuwa hadi sasa Tanzania haina kisa chochote cha ugonjwa wa Ebola, huku ikiendelea kuimarisha hatua za ... Read More