Na. Majid Abdulkarim, Dodoma Waganga wafawidhi wa Hospitali za Rufaa za Mikoa nchini wametakiwa kuhakikisha wanabainisha vipaumbele vya Taasisi zao kulingana na vipaumbele vya sekta ya ... Read More

Na. Majid Abdulkarim, Dodoma Waganga wafawidhi wa Hospitali za Rufaa za Mikoa nchini wametakiwa kuhakikisha wanabainisha vipaumbele vya Taasisi zao kulingana na vipaumbele vya sekta ya ... Read More
Na. WAF - Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu leo Januari 5, 2023 amezindua usambazaji wa Vifaa Tiba (nje ya vilivyopangwa kununuliwa kwenye Bajeti ya 2023/24) vitakavy... Read More
Na WAF - Dodoma. Serikali imewataka waganga na wadau wa tiba Asili nchini kusajili dawa wanazotengeneza ili ziingizwe katika mfumo wa hospitali na kuongeza masoko ya huduma jumuishi za ... Read More
Na. WAF - Arusha Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameagiza Hospitali zote za Rufaa za Mikoa nchini kujengwa miundombinu yake kwa kufuata ‘master plan’ na kuacha kujenga majengo madogo y... Read More
Na. WAF - Arusha Katika kuendelea kuboresha Sekta ya Afya nchini, Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amezindua maabara ya Patholojia iliyopo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mo... Read More
Na. WAF - Hanang, Manyara Serikali kupitia Wizara ya Afya kujenga kituo kipya cha Afya katika Kijiji cha Gendabi Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara ili kusaidia upatikanaji wa hudum... Read More
Na. Mwandishi wetu - Tanga Taasisi ya Doris Mollel Foundation kwa kushirikiana na Msanii Barnabas leo Disemba 22,2023 imetoa Vifaa Tiba kwa ajili ya kuanzisha Wodi ya Watoto Wacha... Read More
Serikali chini ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imetenga kiasi cha shilingi trilioni 6.7 kwaajili ya kuboresha huduma za afya ikiwa ni pamoja na kusomesha wataalamu n... Read More
Na. WAF - Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameitaka Taasisi ya Saratani Ocean Road hadi kufikia Fubruari Mosi, 2024 mashine ya Pet-CT Scan iwe ... Read More
NA: WAF, Dar es Salaam Waziri wa afya Mhe. Ummy Mwalimu ametoa rai kwa Wadau wa Maendeleo kuunga mkono jitihada za Serikali kwa kuwekeza zaidi nchini kwenye Sekta ya Afya huku wakiiga m... Read More