Na WAF, Nzega Madaktari Bingwa wa Samia wanaotoa huduma za kibingwa katika Hospitali ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora wamefanikiwa kufanya upasuaji na kutoa uvimbe wenye uzito wa kilo 1... Soma Zaidi

Na WAF, Nzega Madaktari Bingwa wa Samia wanaotoa huduma za kibingwa katika Hospitali ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora wamefanikiwa kufanya upasuaji na kutoa uvimbe wenye uzito wa kilo 1... Soma Zaidi
Na WAF, Dar es Salaam Serikali imejidhatiti kuendelea kushirikiana na Wadau wa Sekta ya Afya katika matumizi ya takwimu na teknolojia ili yaweze kuleta tija katika kuimarisha mifumo ya ... Soma Zaidi
NA WAF - RUKWA Wananchi wa wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa wamejitokeza kwa wingi kupata huduma za kibingwa kufuatia ujio wa timu ya madaktari bingwa kwa ajili ya kutoa huduma za afya. ... Soma Zaidi
Na. WAF, Dar es Salaam Huduma za uchunguzi na maabara zimekuwa miongoni mwa nguzo kuu na zenye mchango mkubwa katika kuboresha utoaji wa huduma bora za afya nchini. Hayo yamesemwa ... Soma Zaidi
Na WAF - Comoro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi ya kuwapeleka madaktari bigwa kutoka nchini Tanzania kwenda katika kisiwa cha Anjouan ki... Soma Zaidi
Na. WAF, Dar es Salaam Serikali ya Awamu ya sita chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imepiga hatua kubwa katika matumizi ya data na ubunifu ili kurahisisha utoaji wa huduma za a... Soma Zaidi
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa kiwango cha udumavu miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano nchini kimeshuka kutoka asilimia 48 mwaka 1992 hadi asilimia 30 mwa... Soma Zaidi
NA WAF – RUKWA Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Mhe. Nyakia Ally Chirukile, amezindua rasmi jengo jipya la uzazi katika wilaya hiyo, hatua inayolenga kuboresha huduma za afya ya uzazi kwa ... Soma Zaidi
Na WAF Dar es Salaam Katika kutekeleza azma ya mageuzi katika sekta ya afya nchini, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeweka historia kwa kuwa taasisi ya kwanza Afrika Mashariki kufan... Soma Zaidi
Na WAF, Kigoma Madaktari Bingwa 48 kutoka Mpango wa Madaktari Bingwa wa Mama Samia wamewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya kutoa huduma za afya za kibingwa kwa wananchi pamoja na kuwajeng... Soma Zaidi