Kutoka Katavi, 13/12/2022 Kufatia maagizo ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa jana tarehe 12/12/2022 katika ziara yake ya kutembelea Hospitali ya Rufa... Soma Zaidi
Habari
Na.WAF- Dodoma. KATIBU Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi ametoa rai kwa wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Magonjwa Yasiyoambukiza kwa kubadili mtindo wa maisha ikiwemo ... Soma Zaidi
Na Mwandishi wetu-MOI Naibu katibu Mkuu wa wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalage amefanya ziara katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili MOI kwa lengo la kukagua hali ya utoaji huduma pa... Soma Zaidi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Comoro nchini Tanzania Dkt. Ahamada El Badaoui kujadili namna ambavyo nchini hizo zi... Soma Zaidi
Na Emmanuel Malegi – DODOMA Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameelekeza magari yote ya wagonjwa nchini yaliyotolewa na Serikali yanakatiwa Bima ya ajali ili iweze kusaidia ... Soma Zaidi
NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amebainisha kuwa Serikali imetenga kiasi cha shilingi Bilioni 200 kwaajili ya ununuzi wa dawa na vifaa tiba katika mwaka wa fedha 2022/2023 huku Bilio... Soma Zaidi
Na. WAF - Mwanza Takwimu zinaonesha kuwa watoto takribani elfu Kumi na Moja huzaliwa na ugonjwa wa Sikoseli kila mwaka nchini Tanzania hali ambayo imekuwa tishio kwa Taifa la baa... Soma Zaidi
Na. WAF - Dodoma SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imetoa wito kwa Wajawazito kuhudhuria kliniki mapema kwa lengo la kupata muda wa kutosha kwa Wataalamu kufanya uchunguzi na... Soma Zaidi
Na. WAF - Mwanza Imeelezwa kuwa mbinu muhimu za kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza ni pamoja na kubadili mtindo wa maisha kwa kudhibiti matumizi ya vilevi kama sigara na ... Soma Zaidi
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeongeza fedha za kusomesha Wataalamu bingwa na bobezi hadi kufikia shilingi Bilioni 8 kutoka Shilingi Bilioni 3 za mwaka wa fedha 2021/22, utakaosaidia kubo... Soma Zaidi