Na WAMJW-DSM Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea Chanjo za UVIKO 19 Dozi 376,320 aina ya Moderna ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wa ... Soma Zaidi

Na WAMJW-DSM Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea Chanjo za UVIKO 19 Dozi 376,320 aina ya Moderna ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wa ... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAMJW, DSM Benki ya Dunia imeonesha utayari kwa Tanzania katika uwekezaji wa kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu na kusaidia masuala ya Chanjo ya Uviko 19, Mama na Mtoto... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAMJW, ARUSHA. Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua Kampeni Harakishi na Shirikishi kwa Jamii awamu ya pili ... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAMJW-DODOMA Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Prof. Abel Makubi, amesema kuelekea uzinduzi wa Kampeni Harakishi na Shirikishi awamu ya... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAMJW- DODOMA. Katika hali ya kuendelea kupunguza Vifo vya Mama na Mtoto, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima, ames... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAMJW, DODOMA Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema, Chanjo, Lishe na Afya Mazingira ni maeneo muhimu ambayo yanabeba seh... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAMJW-DODOMA Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya, Dkt. Grace Magembe, amewataka Maafisa Afya mazingira, kot... Soma Zaidi
Na WAMJW – DODOMA Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima, amesema Serikali inampango wa kujenga vituo vya Malezi na Makuzi kwa ajili yakukabiliana... Soma Zaidi
Na Atley Kuni, WAMJW- DODOMA Serikali imepiga marufuku kuweka matangazo ya ushauri nasaha kwenye maduka ya uuzaji wa dawa za binadamu kwani ni kinyume na kifungu namba 46 (c) kinacho sima... Soma Zaidi
Mwenyekiti wa Bodi ya usajili ya Wauguzi na Wakunga nchini, Prof. Lilian Masele, amewaambia wauguzi zaidi ya 1200, ambao wametunukiwa vyeti vyao kuwa, wagonjwa hawaendi hospitani kwa ajili k... Soma Zaidi