Hospitali ya Wilaya ya Musoma Vijijini, Mkoani Mara iko mbioni kuanza uzalishaji wa hewa tiba ya Oksijeni lita Elfu kumi (10,000) kwa siku jambo litakalosaidia wakazi wa wilaya hiyo, mkoa wa... Soma Zaidi

Hospitali ya Wilaya ya Musoma Vijijini, Mkoani Mara iko mbioni kuanza uzalishaji wa hewa tiba ya Oksijeni lita Elfu kumi (10,000) kwa siku jambo litakalosaidia wakazi wa wilaya hiyo, mkoa wa... Soma Zaidi
Na WAF, Dar Es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amewaomba wadau wa Maendeleo ndani ya sekta ya Afya kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali hususani kipindi ... Soma Zaidi
. Na WAF, Dar Es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya inatarajia kupokea bilioni 145 kwa mwaka wa fedha 2024/25 kutoka bilioni 126 mwaka 2023/24 ongezeko la asilimia 15, kutoka k... Soma Zaidi
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeahidi kushirikiana na Taasisi ya Khoja Shia Ithna ili kuimarisha huduma za macho nchini ikiwemo utoaji wa huduma ya upasuaji mdogo, vipim... Soma Zaidi
Na.WAF, Arusha Kutokana na watu wengi kujitokeza katika Kambi ya matatibabu katika uwanja wa Sheikhe Amri Abeid Jijini Arusha Naibu Waziri wa Afya, Dkt Godwin ... Soma Zaidi
. Na WAF - KAGERA Mkoa wa Kagera umekuwa mstari wa mbele kupunguza vifo vya mama na mtoto, hivyo ujio wa kadi za Kliniki za Afya ya Wajawazito na watoto utakuwa kicho... Soma Zaidi
Na. WAF - Dodoma Kukamilika kwa ujenzi wa Hospitali ya kisasa ye jeshi iliyopo Msalato Jijini Dodoma inayotarajiwa kuwa ya Level 4 utasaidia kupunguza ms... Soma Zaidi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu leo Juni 25, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Bi. Helen Fytche ambaye ni Mkuu wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Ubalozi wa Canada kwa ajili ... Soma Zaidi
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amewakumbusha wajumbe wa menejiment ya Wizara dhamana ya jukumu la kuhakikisha Taifa la Tanzania linakuwa na Afya bora siku zote. Dkt. Jingu a... Soma Zaidi
Na WAF – Musoma, Mara Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred amewataka watoa Huduma na Wataalamu wa Afya wa Mkoa huo kushirikiana kwa ukaribu na Madaktar... Soma Zaidi