Mkutano wa ushauri wa kitaalamu wa kutokomeza ugonjwa wa USUBI nchini umemalizika kwa kukubaliana na kushauriana mbinu zitakazo wezesha kutokomeza ugonjwa huo ifikapo mwaka 2030. Mku... Soma Zaidi
Habari
Na Englibert Kayombo WAF, Iringa. Serikali katika Mkoa wa Iringa imejipanga kuongeza hamasa ya uchanjaji na Elimu ya Chanjo dhidi ya UVIKO-19 ili kuwa na idadi ya watu wengi wenye... Soma Zaidi
Na.Majid Abdulkarim – WAF Matibabu ya Ugonjwa wa Fistula kwa sasa yanapatikana katika Hospital zote za Mikoa nchini ambapo awali matibabu hayo yalikuwa yakipatika katika Hospitali... Soma Zaidi
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema uwekezaji wa Rais Samia Suluhu Hassan kwenye kuimarisha huduma za afya umezifanya nchi Jirani kuendelea kuja nchini kujifunza namna amba... Soma Zaidi
Na Mwandishi Wetu,DSM WATAALAMU mbali mbali Wabobezi katika Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele ya Usubi,Matende na Mabusha,Trakoma, Kichocho na Minyoo (NTDs), wamekutana Dar ... Soma Zaidi
Na Englibert Kayombo WAF, Dar Es Salaam. Waziri wa Afya Mhe. @UmmyMwalimu leo amekutana na kufanya mazungumzo na Wawekezaji kutoka India pamoja na Umoja wa Falme za Kiarabu (... Soma Zaidi
Na Mwandishi Wetu, Tanga. Maabara mpya ya upimaji wa sampuli za UVIKO-19 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Bombo, Tanga itarahisisha upatikanaji wa huduma kwa haraka zaidi hivyo kuwa... Soma Zaidi
Na Englibert Kayombo, WAF – Dodoma. Serikali kuanza ujenzi wa Hospitali kubwa ya Taifa ya Mama na Mtoto Jijini Dodoma ikiwa ni juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika k... Soma Zaidi
RAIS SAMIA AWATAKA WAZAZI MKOA WA IRINGA KUONGEZA USIMAMIZI KATIKA MASUALA YA LISHE BORA KWA WATOTO.
Na ;Englibert Kayombo - WAF, Isimani, Iringa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka wazazi katika Mkoa wa Iringa kuongeza usimamizi katika masual... Soma Zaidi
Na Englibert Kayombo, WAF – Iringa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa @samia_suluhu_hassan ameendelea kuwataka Watanzania kujikinga dhidi ya Ugonjwa wa UVIKO-19... Soma Zaidi