Na WAF - DSM Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi amebainisha kuwa, Bima ya Afya kwa wote itatoa fursa kwa Mtanzania mwenye hali yoyote kwenda kupata matibabu katika hospi... Soma Zaidi
Habari
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania itaendelea kutoa kipaumbele katika kuhakikisha wanawake na watoto wa kike wanapata huduma wezeshi zikiwemo za afya na elimu ili kuwez... Soma Zaidi
Na WAF - DSM Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amewataka Wataalamu wa afya kujadili uwezekano wa huduma za afya ya akili kuwa sehemu ya huduma zinazogharamiwa na mfumo wa taifa wa Bima y... Soma Zaidi
Na. WAF - Dodoma Kiwango cha kujiunga na Bima ya Afya kwa wote ni Shilingi 340,000 kwa kaya ya watu Sita akiwemo mchangiaji, mwenza wake na wategemezi wasiozidi wanne kwa mwaka pindi sh... Soma Zaidi
Naibu Waziri wa Afya, Mheshimiwa Dkt. Godwin Mollel amewataka wananchi kuchukua tahadhari juu ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola ambao umeripotiwa hivi karibuni katika Nchi jirani ya Uganda. ... Soma Zaidi
Na WAF - Dodoma. Serikali kupitia Wizara ya Afya pamoja na wadau wa Sekta ya Afya wamepanga kuendelea kushirikiana katika kuboresha Sera ya Lishe na kutekeleza afua za lishe nchini. ... Soma Zaidi
Na.Catherine Sungura, WAF - KAGERA. Waganga Wakuu wa Wilaya pamoja na Waratibu wa Ufuatiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko wametakiwa kujidhatiti katika kukabiliana na tishio la Ugonjwa wa Eb... Soma Zaidi
Na. Catherine Sungura, WAF - KAGERA. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amewatoa hofu Watanzania kuhusu Ugonjwa wa Ebola uliopo nchi jirani na kuwataka waendelee kuchukua tahadhari za kuj... Soma Zaidi
Na. Hassan Kimweri, WAF - Kagera Waandishi wa Habari mkoani Kagera wameshauriwa kutoa taarifa sahihi juu ya ugonjwa wa Ebola ambao umekuwa tishio na kuuwa watu nchini Uganda. Kauli... Soma Zaidi
VIFAA TIBA KUPELEKWA KITUO CHA AFYA CHA KABYAILE Na.Catherine Sungura,WAF-Misenyi Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameagiza kupelekwa kwa vifaa tiba ikiwemo mashine ya usingizi na ... Soma Zaidi