Na WAF - Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amekabidhi tuzo, cheti na zawadi ya Shilingi Milioni 5 tasilimu pamoja na pikipiki mpya kwa mwandishi bora wa habari Ismaily A... Soma Zaidi

Na WAF - Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amekabidhi tuzo, cheti na zawadi ya Shilingi Milioni 5 tasilimu pamoja na pikipiki mpya kwa mwandishi bora wa habari Ismaily A... Soma Zaidi
Na WAF - Singida Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatuma Mganga amewataka wananchi mkoani humokujitokeza kwa wingi kupata matibabu kutoka kwa Madaktari Bingwa wa Dkt. Samia waliweka k... Soma Zaidi
Na WAF Kagera Wananchi mkoani Kagera wametakiwa kutumia fursa ya uwepo wa Madakatari Bingwa zinazoendelea mkoani humo na kuacha visingizio vya imani za kishirikina, badala yake kufika h... Soma Zaidi
Na WAF - SHINYANGA Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha amesema wakunga ni nyenzo muhimu katika utoaji wa huduma za afya chini kwani huduma wanazotoa ni muhimu katika kuokoa maisha... Soma Zaidi
Na WAF, KILIMANJARO Taasisi ya Dkt. Godwin Mollel kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation zimetoa huduma ya bure ya matibabu ya macho kwa wananchi zaidi ya 3,000 katika Hospitali ya Wil... Soma Zaidi
Na WAF, KILIMANJARO Mtoto Hope Justo Mboya mwenye umri wa miaka minne anayesumbuliwa na ugonjwa wa seli mundu, amekabidhiwa kwa Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel na wananchi w... Soma Zaidi
Na WAF - Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama leo Mei 03, 2025 amekutana na Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Hamphrey Polepole lengo likiwa ni kujadili namna ya kushirikia... Soma Zaidi
Na WAF - Handeni, Tanga Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amewataka wamiliki wa vyuo vya afya nchini kudahili idadi ya wanafunzi kulingana na uwezo wa chuo ikiwemo miundombinu ya dara... Soma Zaidi
Na WAF, Nzega Wananchi wanaosumbuliwa na magonjwa kwenye sikio, pua na koo (ENT) wameongoza kwa idadi ya watu waliojitokeza katika kambi ya madaktari bingwa wa Rais Samia katika wilaya ... Soma Zaidi
NA WAF - SINGIDA Timu ya Madaktari Bingwa na Bobezi wa Rais Samia kutoka mikoa mbalimbali wametoa mafunzo ya kuboresha utoaji huduma kwa mama na watoto wachanga kwa watumishi wa afya wa... Soma Zaidi