Na Hassan Kimweri, WAF - Addis Ababa Tanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya mama na mtoto barani Afrika, husus... Soma Zaidi
Na Hassan Kimweri, WAF - Addis Ababa Tanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya mama na mtoto barani Afrika, husus... Soma Zaidi
Na Happyness Hans, WAF-Kagera Watumishi wa afya katika Wilaya ya Misenyi mkoani Kagera wamejengewa uwezo na timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Afya katika kukabiliana na wagonjwa wa dha... Soma Zaidi
Na Hassan Kimweri, WAF - Addis Ababa Tanzania imeunga mkono juhudi za kuimarisha Shirika la Afya Duniani (WHO) kupitia maboresho ya Muundo wa Mfumo wa Afya Duniani (Global Health Archit... Soma Zaidi
Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Florence Samizi anaongoza ujumbe wa Tanzania katika Kikao cha 76 cha Kamati ya Kanda ya Afrika ya Shirika la Afya Duniani (WHO AFRO Regional Committee), kinach... Soma Zaidi
NA Cletus Sanga, WAF - Kibaha Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa, amesema kila dakika katika huduma za dharura ina thamani na inaweza kuwa tofauti kati ya uhai na kifo au kat... Soma Zaidi
Na Cletus Sanga, WAF – Kibaha Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha kuhakikisha gari la wagonjwa lililokabidhiwa kwa Kituo cha Afya Magindu l... Soma Zaidi
Na Andrea Kadege, WAF – Kibaha Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kuimarisha mfumo wa huduma za dharura nchini kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanaokumbwa na dharura za kiafya... Soma Zaidi
Na Happyness Hans, WAF - Kagera Wizara ya Afya kupitia Idara ya Dharura na Maafa, kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI pamoja na CIHEB - Tanzania chini ya Mradi wa Usalama ... Soma Zaidi
Na Cletus Sanga, WAF – Kibiti Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha magari ya wagonjwa yanatumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa, yanatunzwa kwa waka... Soma Zaidi
Na Cletus Sanga, WAF – Kibiti Serikali iko katika hatua za mwisho za kukamilisha mfumo wa kitaifa wa huduma za ambulance utakaolenga kuratibu kwa ufanisi zaidi huduma za dharura na kuha... Soma Zaidi