WAZIRI wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amebainisha maeneo ambayo yamelengwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya watoto (UNICEF) ili kuboresha Sekta ya Afya nch... Soma Zaidi

WAZIRI wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amebainisha maeneo ambayo yamelengwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya watoto (UNICEF) ili kuboresha Sekta ya Afya nch... Soma Zaidi
Na. WAF, Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Stanslaus Nyongo ameitaka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kuongeza nguvu ya kudhibiti bidh... Soma Zaidi
Na. Majid Abdulkarim, Mbarali Wagonjwa zaidi ya 500 wenye matatizo ya mtoto wa jicho wanatarajiwa kupatiwa huduma ya upasuaji wa mtoto wa jicho kutoka kwa madaktari bingwa wa macho amba... Soma Zaidi
Na WAF, Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Stanslaus Nyongo ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kuongeza kasi na Ufanisi wa utoaji ... Soma Zaidi
Mwanamitindo na Mwigizaji wa Kimataifa Molly Sims ambaye ni Mke wa Mwenyekiti wa Netflix Films, Scott Stuber, amechangia Dola Elfu 25 ambayo sawa na shilingi Milioni 62 za Kitanzania kwa aji... Soma Zaidi
Na. Majid Abdulkarim, Mbarali Madaktari Bingwa wa macho wameweka kambi ya wiki moja Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya kwa ajili ya kuwatafuta wagonjwa wenye matatizo ya mtoto wa jicho amba... Soma Zaidi
Na WAF, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na masuala ya UKIMWI imeitaka Bohari Kuu ya Dawa (MSD) nchini kuongeza kasi ya usambazaji wa bidhaa za Dawa pamoja na kuwa na maghala ya... Soma Zaidi
Na WAF, Dodoma. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe amewataka wataalam wa TEHAMA kufanyia kazi mifumo ya taarifa ya Wizara ili iweze kuwasiliana na kuwa na mifumo michache y... Soma Zaidi
Taasisi ya Afya Check kwa kushirikiana na Mbunge wa Tanga Mjini, Mhe Ummy Mwalimu na Halmashauri ya Jiji la Tanga imeandaa kambi maalumu ya wananchi kupima afya zao bure ikiwa ni sehemu ya k... Soma Zaidi
Na WAF – DSM Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo inaweka Mkakati wa kukabiliana na dharula, magonjwa ya milipuko na matukio yenye athari kiafya yatakayotokea nchi... Soma Zaidi