Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Mei 14, 2026 amekutana na Kaimu Balozi wa Marekani Nchini Andrew Lentz na kufanya majadiliano kuhusu Mkataba Mpya wa Ushirikiano (MoU) wa Afya kat... Soma Zaidi
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Mei 14, 2026 amekutana na Kaimu Balozi wa Marekani Nchini Andrew Lentz na kufanya majadiliano kuhusu Mkataba Mpya wa Ushirikiano (MoU) wa Afya kat... Soma Zaidi
Serikali imeendelea kuimarisha huduma za afya ya mama na mtoto nchini kupitia uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya afya, huduma za uzazi salama pamoja na huduma kwa watoto wachanga wenye u... Soma Zaidi
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja limepitisha makadirio ya mapato na Matumizi ya Bajeti ya Wizara ya Afya yenye jumla ya shilingi Trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2... Soma Zaidi
Naibu Waziri wa Afya, Florence Samizi, amesema Serikali imekuja na mpango wa kufanya msawazo wa huduma za kibingwa katika hospitali za kanda kwa kuongeza huduma hizo kutoka huduma nane hadi ... Soma Zaidi
Na Aisha Swahibu, WAF - Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kuboresha huduma za dharura nchini kwa kuongeza idadi ya wodi za huduma hizo kutoka wodi saba mwaka 2021 hadi k... Soma Zaidi
Na Mvuda Jaffer,WAF:Dodoma Serikali imejipanga kuendelea kukarabati hospitali kongwe nchini ili ziweze kuendelea kutoa huduma za afya zinazokwenda sambamba na mahitaji na viwango vya hu... Soma Zaidi
Na Hassan Kimweri, WAF - Dodoma Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi Mhe. Johanes Lukumay ambaye ni Mbunge wa Arumeru Magharibi ameipongeza Wizara ya Afy... Soma Zaidi
Na. Aisha Swahibu, WAF - Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kusimamia utekelezaji wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi unaotekelezwa kwa awamu, ikiwa ni sehem... Soma Zaidi
Na Hassan Kimweri, WAF - Dodoma Mbunge wa Buchosa Mhe. Erick Shigongo ameishauri Serikali kuendelea kuwekeza zaidi kwenye huduma za kinga kuliko tiba ili kudhibiti kuenea kwa magonjwa n... Soma Zaidi
Na WAF - Dodoma Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) itaendelea kununua dawa zinazozalishwa na wawekezaji wa ndani ili kuimarisha uzalishaji wa ndani wa bidhaa za afya na kupunguza ute... Soma Zaidi