Na. WAF - Dar Es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya inaendelea kuimarisha ubora wa huduma za Afya ya mama na mtoto katika vituo 25 vinavyotoa huduma ya upasuaji wa dharura wa ... Soma Zaidi
Habari
" Na WAF, DODOMA Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka waganga wafawidhi nchini na Watumishi ndani ya Sekta ya Afya kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji wanaotaka kuwek... Soma Zaidi
Na: WAF, Shinyanga Mganga Mkuu wa Serikali Prof Tumaini Nagu amewahimiza watumishi sekta ya afya kuzingatia na kuweka kipaumbele cha usalama wa mgonjwa katika utoaji wa huduma na ... Soma Zaidi
Na WAF-DSM Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete amesema unyunyuziaji wa dawa kuuwa mazalia ya mbu, kutoa elimu kwa wananchi juu matumizi sahihi ya vyandarua pamo... Soma Zaidi
Na WAF-MWANZA Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amewataka wahudumu wa afya nchini kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kuzingatia lugha zenye staha na kutoa hudum... Soma Zaidi
Na WAF - Musoma, Mara Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga kiasi cha fedha shilingi Bilioni 11 kwa mwaka wa fedha 2023/24 ili kuendeleza ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kumbuk... Soma Zaidi
Na WAF - Mwanza Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali Mhe. Japhet Hasunga ameipongeza Serikali kwa kuboresha miundombinu ya afya hivyo kuwasaidia ki... Soma Zaidi
Na WAF - Dodoma Imebainishwa kuwa tokea kuanza kwa mfumo wa rufaa wa M-mama umehudumia dharura zaidi ya 60,000 kwa wanawake wajawazito, waliojifungua pamoja na watoto wachanga wal... Soma Zaidi
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt John Jingu amewataka watumishi wa afya kuwatengenezea fikra njema wananchi katika kukabiliana na magonjwa mbalimbali hasa magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugo... Soma Zaidi
Na WAF, DODOMA. Wataalam wa Optometria nchini wameaswa kuwa mstari wa mbele kuzingatia Madili na weledi wakati wa utoaji huduma na wakati usio wa kazi hali itakayoongeza imani kwa... Soma Zaidi